MAKAMBA AKUTANA NA MENEJIMENTI YA WIZARA
Waziri wa Nishati, January Makamba, akizungumza katika kikao cha Menejimenti ya Wizara ya Nishati kilichofanyika Makao Makuu ya Wizara ya Nishati Jijini Dodoma tarehe 10 Januari 2022. Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati, Mhandisi Felchesmi Mramba, akizungumza katika kikao cha Menejimenti ya Wizara ya Nishati kilichofanyika Makao Makuu ya Wizara ya Nishati Jijini Dodoma tarehe 10 Januari 2022. Waziri wa Nishati, January Makamba (kushoto) akimpongeza Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati, Mhandisi Felchesmi Mramba( kulia) mara baada ya kuwasili Makao Makuu ya Wizara ya Nishati Jijini Dodoma tarehe 10 Januari 2022, katikati Naibu Waziri wa Nishati, Wakili Stephen Byabato. Waziri wa Nishati, January Makamba (kushoto) akiwa katika mazungumzo na Naibu Waziri wa Nishati, Wakili Stephen Byabato,( katikati) Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati, Mhandisi Felchesmi Mramba(kulia) pamoja na Naibu katibu Mkuu wa Waizara ya Nishati, Kheri Mahimbali( hayupo pichani) kabla ya kuanza kikao cha Menejimenti ya ...
Comments
Post a Comment